hapo vipi.....

nataka mdem kama huyu kwa ile nat yangu.to attract customers
[ATTACH=full]121083[/ATTACH]

Biashara ya matatu inakupeleka aje???Akina @pamba wako karibu kunimaliza

1 Like

[ATTACH=full]121084[/ATTACH]

4 Likes

haha…wanakula lakini tu soon tutawakomesha

ii ni Embassava…uyo ni wazimu

1 Like

Wachana na wao waliamua mimi nikulange sukuma wao wakikula nyama na gari ni yangu

4 Likes

so sad jo.but tunakazana tu.biashara ya matatu sio rahisi

1 Like

Nishazoea siku izi sionangi kitu kubwa

1 Like

thats the moral bro.coz tushaingia tunakazana tu na hii rotten matatu sector kabisa

this chic was posing for photos…
now she’s trendin…smh!! anyway,it doesnt mean ati io mat ikona customers @culture :D:D:D
But anyway, try your luck…it might work for you…:slight_smile:

3 Likes

Hakuna kutoka mm isipokuwa hao wa carbanas na pale nyayo uko kwingine sacco husimamia

1 Like

:D:D:Dnaonaga mat ziko na madem zikiwa na customers sana.ata kama wako tu hapo kutembea na mat for free

1 Like

lol…huyo dem ndo atapata market na si mat…lol!!

1 Like

kuna mat huitwa Titty Boy ya route 110.Ilikuwa na conductor dem na ilikuwa inabeba sana

2 Likes

sijakataa pia…pia kuna mat i know…missist huwa na dem…pia hubeba

2 Likes

Daaaaamn!!! The melons on her wacha 2. sigh:cool:

2 Likes

Kubeba si ishu. Swali ni watakuletea ngapi.

2 Likes

Mnafanya kazi na target…After fuelling…kulipa pesa ya sacco na kujilipa wanakuwekea 8k per day monday to friday…sato 6k na sunday 5k for a 33seater.37seater 9500 monday to friday.Sato 7 na sunday 6k.Thats sacco yenye mm niko izo zingine sijui

3 Likes

hapo sawa

That chokosh in the background looks like he was about to shine his eyes on those notes she’s holding

1 Like