happy and sad

[ATTACH=full]786[/ATTACH]
I’m happy that nalipwa but at the same time i’m a bit sad.Sad that i’m a slave of the system.I belong to the system, i must work a good 9 to 5 monday to friday in order to make a living.I wish that i was a self sufficient businessman.Any villager out there who doesn’t have to work everyday, please tell us about your success story.

CHILL!!! You talking about 9 to 5 ??? some of us grind from 7 to 6 pm. anyway just thank God for whateva he gives you. better days are coming,meanwhile those successful stories zikuje… You can also watch youngrich in k24 today at 8pm

Whaaah kwani ni punda ndio ufanyishwe kazi hivyo, anyway work is a form of slavery, if i can get rid of it the better, wacha nione hiyo show basi, labda ntaget inspiration

why do you tolerate such, si ufungue biashara?

hehe you all funny kwani mko double shifts? me huwork 4 hours in a day zaidi ya hapo wajua ni double benjamins

Ni vizuri umetambua haya masaibu watu wengi wanapitia. Tafuta Rich Dad Poor dad ya Robert Kiyosaki ufunguke macho zaidi. Kuna The Millionaire next door pia

Sijui mbona kila mtu husifu hii rich dad poor dad mi haikunijazz, kama unataka book poa soma napoleon hill ‘think and grow rich’

Ameiweka simple and plain, hakuna jargon mingi. Ni kusaidia mtu kuanza kuthink alternative. Ni kama baby class ya wealth creation.