Hata kwa akili za kuvukia njia,huwezi uua upinzani kwa kuwanunua viongozi wake.

Kwanini hawajifunzi hata kupitia historia?,wale wooteee walio hamia ccm tangu akina mrema hadi dk slaa,bado haiwatoshi kujifunza?.

Au tandu nccr hadi cuf bado tuu jawajifunzi juu ya mfumo wa siasa za vyama vingi?.

Au hata zama za jembe na nyundo kushika hatamu,kua bado mawazo mbadara ya akina mrehemu mtikila yalikuepo!!!.

Ikumbukwe kua jamii inayowaza sawa na kutenda sawa kwa kila jambo ni jamii mfuu.na ni ujinga sana tena katika tanganyika hii kuwaza kutawala kwa mitindo ya rwanda au uganda.ni UJINGA WA KIWANGO CHA MAKINIKIA .

Huu ni upuuzi wa hali ya juu.

Huwezi UA simba wote kwenye mbuga za wanyama kitachotokea kitakua kibaya sana Kwa ecosystem ndiyo maana Mwenyezi Mungu aliumba vyote.matokeo utapata upinzani Wa chinichini ndani ya chama chako

Hats Mwalimu alipobana sana Uhuru Wa wananchi alinusurika Mara kadhaa kupinduliwa

Ni ujinga tuu wa huyu mwehu wa magogoni.

Kwa haya yanayoendelea ni dhahiri kuwa UKAWA ulishinda uchaguzi 2015.

Wao wanadhani wanau upinzani kumbe wanaiua CCM yao tena kifo cha mateso sana. Wapumbavu sana.

Time will tell…

Cc: @Mahondaw

Democrasia ywama Vingi vinasaidia sana checks and balance.

mbona zanzibar sijasikia wakihama vyama kwenda kumuunga jiwe, au zanzibar ipo madagasca

Wapemba wana msimamo sana. Rais wao ni Seif Sharif hata kama hajaapishwa.

hahahaha, manake hawa jamaa sijasikia ati wanahama vyama na kwenda kuunga mkono, na maisha yanaenda watu wanashirikiana, kisiwa kinasonga mbele, hukisikii kelele kama huku bara, mara kupigwa, kuuwawa, kutekwa, kudharauliwa nk

WAPIGWE