Hata UHURU aliambiwa kuna consequences na yeye ni Prezo

[ATTACH=full]9856[/ATTACH]

[ATTACH=full]9857[/ATTACH]

1 Like

Supudon students hawachelewi

hata nime banniwa ku comment kwa hiyo thread

Hebu hawa mods wakuje watuambie kama wanaelewa maana ya jina [SIZE=5]Explicit [SIZE=4]by using it in a well-structured, explanatory sentence, then explaining why we cannot post beeewb mbishas kama tumeweka hiyo flag. Ama pia tuambiwe basi Explicit ni ya nini, because kama ni ya matusi zile noma, zile zinaweza washa moto chini ya maji, mimi huziona hadi kwa ‘General’ na ‘Politics’ pia na silawahi ona mtu amefukuzwa huko eti sababu hajaweka ‘Explicit’ hapo juu. @Deorro @admin @Mundu Mulosi na @ol monk , kiu kwa hii kijiji imezidi buana. Wajunia wanataka kuona Kawasakiable Arimiscapades kama ile maneno unco @ekamsweu anataka kutusimulia[/SIZE][/SIZE]

3 Likes

Wee, wapi hawa mods? Vijanaa wame-camp hapa inje wakingoja kusikia kama Explicit itafunguliwa ama at least basi kujeni mtufunze maana mpya ya hiyo jina o_Oo_Oo_Oo_O

[ATTACH=full]9888[/ATTACH]

1 Like