Nilinunua Sabuni nikidhani simu kwa hasira hata sikuogea niliitupa
Waleti halafu sikuwa na hela
nilinunuaga suruali kwa mnada kufika home kufungua kumbe nilipewa kipande cha shuka
Condom halafu sikuitumia
Maji ya kunywa uhai, kumbe jamaa kaweka kandoro
nilikuwaga namuona baba akivuta nikawa najua ni tamu
hahahaaaa…ze duduuuuu!!!ze dudu yu!ze dudu weeee!
miaka ile nikiwa shule nilitamani Nokia ya laki kutoka kwa teja kariakoo nikatoa 40000 nikiona nimewini nikachukua mzigo.
kufika mbele ya safari nafungua nakuta nimewekewa sabuni ya kuogea aina ya imperial leather ikiwa imechongwa umbo la simu. Kibaya zaidi ilikuwa hela ya kodi ya hosteli.
Sakayo:
Naona aibu kuandika
Andika tu maandishi hayana hisia
Troll:
Uchi
Una maanisha papuchi.?? hiko sio kitu cha kijinga mkuu, waulize wenye nacho @Sakayo @Shunie @Mzigua90 @Madame S
Shunie
June 14, 2018, 1:10pm
13
Aache kufananisha papuchi na vitu vya kijinga
papuchi inanunuliwa? inakodiwa kwa muda fulani? au inatunukiwa? msichanganye mambo kumbukeni huku tuko misri…
Sakayo
June 14, 2018, 1:30pm
17
Shunie:
Ebu andika tu hivyohivyo
Hahahahahah
Siandikiii, unataka ucheke ama
Mzigua90:
Hayuko serious huyo
Hahaha watu mnaki handle kwa care na kukitoa kwa msimu na mpangilio afu yeye anasema cha kijinGa
Watu tunahonga mel yeye anasema ujinga.