Hapo zamani za kale (1990s) wakati smart phones hazikuwa kulikuwa na mpiga picha pale esto alikuwa anazungunga akipiga watu picha. His main customers walikuwa ma mboch since their bosses were not around during the day. Unapata mpiga picha na sana sana ilikuwa ni mkamba kadinyi named Mutua lakini ma mboch wamembatiza jina Mutush…
Mutush anakaribishwa kwa mansion na mbochiko anapewa ile juice ya ku mix na maji(treetop)…hii juice ilikuwa tuu inafa pewa wageni lakini since wadosi hawako mboch anapea Mutush…kidogo kidogo mboch anaenda ku change in her sexy outfit apigwe picha…mara mob mutush akiwa na njaa hakuwa analipisha mboch…instead anapewa slices.
Siku moja mutush alipiga mboch moja picha na akapewa slices…two weeks later on a saturday mutush akabisha mlango ya hio mansion…akafunguliwa na mwenye nyumba.kidogo kidogo akatoa hizi picha(attached) ati nimeleta picha za mwenye nyumba…yuko karibu?. mboch alifutwa on the spot
[ATTACH=full]51205[/ATTACH][ATTACH=full]51206[/ATTACH]