Wangapi wanataka niwachapie hekaya ya kadem tumekaanisha nako kwa matt toka mayakos mpaka town?.. Hand up…
wewe unafikiri tuko hapa tukifanya nini? kungoja vionjo? hapana…naulete na picha ya mapaja…
hapa naona watu wako na homa kwa vidole they cant type “n” where required…
1 Like
KAA NAYO
Hio jiekee
Hio hatutaki. Mass protest.
Haaya wacha nikanyakingie hio…
1 Like
mblo hekaya ikunje mplis lakini envidence ifuate ata risiti ya mbathi
Kukaanisha ndiyo kufanya? Kwani viti kwa gari ziliisha akaketi on your lap?
Me nataka hekaya za kilimani mums
Hapa ni kili dads
1 Like
Hii inasoumd kama mwalimu wa nursery akiuliza watoto “nani anataka ile hadithi ya sungura mjanja na fisi”:D:D:D
[ATTACH=full]14277[/ATTACH]
9 Likes
Hii nikanyakingie ndo nini?
1 Like
Hai, mbozzy weh, pokea shahada…[ATTACH=full]14321[/ATTACH]
2 Likes
:D:D
Hahaha