Hekaya

Leo tisha Elgin angekuwa kwa morgue. Sasa mimi nko kwa wify Matuu,pia ye ni tishaa. Mimi kitu 12 nikachukua bike yangu nikasema niexplore ukambani. Elgin huyo akashika njia yenye inaconnect Matuu and Katangi…on the way nikasimama kwa kacentre fulani. Mimi huyo kwa kapub kamechapa hivi hivi. Kuingia nikapata mother momo momo anadish ugali na greens sikujua ni gani, Mi nikamshow nataka Tusker. Huku Tusker haijawahi onekana, ye alikuwa na Allsopps na makali za kariobangi. Akanishow ninywe allsopp and I buy her one. Ok, Allsopps ikaja na pia yake,kuongea kiasi na yeye kuhusu mvua cuz mvua hapa ukambani ni kama pope.
Sasa huyu Mathe mi nikajoke nataka nunu, Akadai anaweza nipa lakini kwanza afunge pub then nimscrew…hii hekaya itaendelea cuz chenye tishaa ameona mngenipata kwa morgue.

4 Likes

Maliza hekaya mblo wacha mchezo…

:D:D:D:D

3 Likes

Nugu hii maliza story… Plus attach sketch.

3 Likes

Tisha Elgin wewe ni Tisha waiganjo. Real Teachers always say “To be continued” when a hekaya goes unfinished. But what do I know

Uncle wacha matusi,sketch yenye niko nayo ni ya bike pekee. Hii hekaya nitamaliza leo.

Kwani nimesema nini mkundu hii? Ok,To be continyooood.

yenyewe mblo venye wamesema hapo njuu
leta hio mbalance ya story na mbicha

Asiii!!! Mbloo, makali ya Kaliombangi ishafika Mbooni na Matuu lakini Tusker bado?

Si tunaita morsharry… Malizia hekaya ama ujipate huko pap

Lazima ulete evidence part 2

1 Like

Acha matusi kiyana.
hekaya poss!

lete stori yote nugu hii hata kuma huwa hatupatiwi nusu nusu na ndio tamu kuliko hii hekaya yako

1 Like

This is bullshit and I bet the sequel will be bullpiss

Mblo! Kwani iko nene?

Why are you tempting us to insult you even when we don’t want to?

1 Like

Matuu wapi?teacher wa wapi?

1 Like

No, siwezi reveal hiyo. Unajua centre inaitwa kalyambeu…Hapo ndipo muktadha wa hii hekaya nazungumzia. Mi sio mcambodia btw. Hapa niko holiday so musiniite Kasee.

Kelitu detected…sasa Mutio.

I normally don’t come back to a thread. Too bad mwalimu. Hii hekaya ungekuwa ushatumalizia twende kazi zingine!