Bro, I will tell you a story ilitufanyikia. My bro alitunga msichana mimba in the 90s. Makosa(insert DJ Afro's voice)!!!! Chick was the dramatic type, kwanza dim eye. Sasa bro akakubali matokeo but since alikuwa haja stabilize poa, akaambia dem Walee tuu but hakuna marriage. Wacha dem aanze vituko.
When the kid was 3 years, tukasema tuchukue mtoi since marriage ni ngori na dem pia alikuwa ameanza ukunguru. Noma ni kwamba dem anakuamilia mtoi using him as a calling card to get even and blackmail us. Ikafika extent hata analeta war kwetu mzae akiwa accompanied by her equally kunguru sisters. Sisi nani? Tuliondokea shida mpaka was Leo. Hata hatujawahi uliza kijana ako wapi. Akifika age anataka shamba aratutafuta.