Hii Nairobi sio ya mamako

back in the day…fresh after high school nika enroll KCITI eastleigh, hizo enzi kwa mathree ulikuwa unapangwa kama gunia za viazi, njaro yangu ilikuwa kungoja mathree imejaa ndio nikiangukia niwekwe kando ya dem esp hao walalo vibuibui hivi, siku moja nikaangukia nikawekwa katikati ya vibuibui wawili, tako si tako, mwenye alikua nyuma yangu ilikuwa nikama ananidara dara hivi kama anasmile, nikajua hiyo siku nimeangukia mbaya…kidogo madem wakasimamisha mathree wanataka kushuka, nikamwangalia huyo dem wa nyuma kama na smile nione kama atanishow tushuke pamoja…dem akakunja sura akaongea kiwalalo nikalenga hiyo story…baadaye konda akaanza kudai pesa…kurudi kwa mfuko sina wallet…nilifinywa na hao makonda…ndio nikajua kweli hii nairobi sio ya mamangu
sina picha lakini nachora sketch ntaiweka baadaye nikimaliza

8 Likes

Huyo ni wanjiko alikua nyuma yako na buibui ilikua disguise

hahahhaa
http://sc.mogicons.com/s/poker-face-24.png
pole boss

[SIZE=21]SKETCH MBIO MBIO SASA :)[/SIZE]

Pole kwa msiba wa kuibiwa na wangechi

weka thermal imagery kama hauna picha.

2 Likes

Hehe unadhani buibui ni innocence…unaeza pata kwanza huyo alikua mwanaume.

1 Like

huyo alikua mwanaume

Na vile hiyo nyuma ilikua soft

hehe wangeci pia wanajua kiwalalo ukitaka kujua ni yeye atatumia R na walalo hawana R

sketch ndio hiyo[ATTACH=full]2520[/ATTACH]

5 Likes

Hii ndio sketch ya Joroge mbele na Kamau nyuma wakiwa na buibui[ATTACH=full]2521[/ATTACH]

How could you persevere that stench? Mapua mmm mapua mmm

I remember in the 90s niliperembwa hivo. This guy came into the ma3 akalipisha kila mtu before the journey started which was abit suspicious lakini kama nissan imebaki watu wawili ndiyo iondoke you just assume it`s ok but to our dismay,ma3 ishaondoka a different konkodi starts asking for money kila mtu akadai ashalipa at which point he broke the news to us ati “mumelipa abiria mwenzenyu hebu lipeni gari”!
Most of us even were waiting for change; mia mbili yangu ilienda hivo and mia mbili was alot of kisisa them days.NKT!

2 Likes

Hehe, hio ni kali.Reminds me of a trick my pal used to do quite risky, unaketi nyuma ya zile viti za dere.Kama mat inaenda you just tap their shoulders kuitisha wale watu wamekaa na dere pesa, si obvious watadhani ni konda ameitisha, unaziokota alafu unaambia konda ashukishe next stage…:smiley: :smiley:

1 Like

HEHEHE
Ati pesa hapo mbele and people don`t even turn to check who took their money… walai some people will never be forgiven lakini karma is a bitch hiyo ukauzi ya kuibia wanyonge ni laana ya kujitafutia.

Shida ni ukishikwa ile kichapo utapewa…

Hii si story ya matt but ni hapo luthuli kwa shop ya electronic, wariah fulani alisimama nyuma ya dame shop ilikuwa imeshona. Dame alikuwa ana smile juu she cud feel the wariahs hard on on her behind…si u knw hw chix like it when they know wamenyonjisha mtu…kidogo wariah leaves…chic was told by her buddy ati her backside is wet kumbe wariah was wanking behind chix matako na akamwagia kwa nguo…LOL

He he, men can be so stupid.

hehehe.
This post is now fully qualified, not hekaya.

1 Like

The walking president of team kawasaki

1 Like