Ati gatheca alibugia fobe kule vihiga akaambia mudavadi yeye ndo ataachia kiti?
Kwani madvd hakukuwa na kiti?
Poritics
Sio MaDVD pekee amepromisiwa hio kiti, kuna Raila, kalooser, gidi ata wetaa…pengine hadi Ngilu
Haiya, ataachia nani sass
Hio kiti sio yake ati awachie mtu. Kama ni yeye atawachiana basi kura ya wakenya ya rais ni ya nini ?
You think the vote counts?
The guy is always high ama ii maneno yake alisema ka zake zimeshuka?
Politricks rather
Kwani Mudavadi hakuwa na pombe, ndio aachiliwe muzinga na Gatheca?