Hiki kizazi kina shida mahala..

Hiki kizazi kina shida mahala vile mademu wako desperate na kuolewa sijui tatizo nini, Yaani kama hujaitwa mume basi jua hujatongoza demu hivi karibuni…
Unatongoza asubuhi halafu kidogokidogo hivi jioni ikifika anakutext, “Umekula mume wangu”.

Hahaha
Naona mmeyachoka mapenzi! We kama hutaki kuitwa mume mwambie ukweli!

Achana na hiyo ya “Mme wangu” mwenzio niliandikiwa “umeamkaje babangu”

Ila kiukweli sio anakuwa yuko desperate na kuolewa bali kuna kitu kakiona kwako na ameona unamfaa kuwa Mumewe.

Una future, hii inatokeaga aje gheto akute una kitanda, kochi , kajiko kagesi, katv n.k.

Ha ha haa…bado kidogo atakwambia njoo kwetu ujitambulishe…wanalazimisha hao…

vumilieni tu hakuna namna

Anataka kukupiga pesa uyo anakutafutia timing. Ila ni kweli aisee tena mwingine hata hamna uhusiano ila ana force kukuita mume

ha ha ha ha ha aaaaaaaaaa nicheke mim

afu unakuta mpo ka sita wote anawaita mme wangu…!

Hahahaha nyie wanaume sijui mpendwe vipi

Hawataki mahaba

Fast track love affair…

Labda

Hahahah kwanini walazimishe?

Namna lazima iwepo

Huyo ndio anataka kukupiga mzinga mkuu

Itakua kakuona unapesa…

Tupendwe kawaida tu

Hayo mahaba ya mtongozo asubuhi then jioni Mme wangu…hayo hatutaki…things are not easy like that

Hata nyie mnatuita mke wangu,mama yangu…wakati tunajua kabisa tunadanganywa.

Hahah!! Nafsi ya mwanadamu haijaumbiwa kuridhika