Wapi hio list ya kampuni wakenya tunasusia ambayo zinapromote impunity ya serikali ya corruption ? . i have just tasted BROOKSIDE milk and it tasted like chieth karibu niinue bibi kofi nimemwambia akinunua hio maziwa tena namrudihsa kwao nyeri .
Najaribu kuangalia CITIZEN tv na naona tu blurred images ni kama inaniharibu mecho but NTV nikiweka iko tu sawa . line ya Safaricon nimetupa including the MPESA balance , kwanza wametuibia sana we just needed such kind of a revolution to deal with them ( ya equitel nimecheza chini kwanza due to technical issues ) …
@mukuna kindly avail the full list of companies tuanze kukaa ngumu .
Dereva
October 31, 2017, 4:18pm
2
Naskia ata Ktalk iko kwa list
Hehe mko na shida ma militia
system
October 31, 2017, 4:20pm
4
uwesmake:
Wapi hio list ya kampuni wakenya tunasusia ambayo zinapromote impunity ya serikali ya corruption ? . i have just tasted BROOKSIDE milk and it tasted like chieth karibu niinue bibi kofi nimemwambia akinunua hio maziwa tena namrudihsa kwao nyeri .
Najaribu kuangalia CITIZEN tv na naona tu blurred images ni kama inaniharibu mecho but NTV nikiweka iko tu sawa . line ya Safaricon nimetupa including the MPESA balance , kwanza wametuibia sana we just needed such kind of a revolution to deal with them ( ya equitel nimecheza chini kwanza due to technical issues ) …
@mukuna kindly avail the full list of companies tuanze kukaa ngumu .
Just to remind you tomorrow you may turn up at Muhindi’s place only to find that he has a new driver.
uwesmake:
namrudihsa kwao nyeri
hapa msakulu ndio shida itaingia
bukusu ngombe tulia na ukule hio ugali mama clichy amekupikia na baadaye kachai na maziwa hio hio ya brookside
:Dameoa shinny eyed.kwisha wewe
mukuna
October 31, 2017, 4:26pm
9
i was fired on saturday. Nikutumie cv? niko saidi mbaya saidia
nilifungwa mecho watoto wakazaliwa banaaa
Wamesema internet yote ni ya Uthamaki so sijui uhame Kenya sasa
Oxygen
October 31, 2017, 4:28pm
12
uwesmake:
Wapi hio list ya kampuni wakenya tunasusia ambayo zinapromote impunity ya serikali ya corruption ? . i have just tasted BROOKSIDE milk and it tasted like chieth karibu niinue bibi kofi nimemwambia akinunua hio maziwa tena namrudihsa kwao nyeri .
Najaribu kuangalia CITIZEN tv na naona tu blurred images ni kama inaniharibu mecho but NTV nikiweka iko tu sawa . line ya Safaricon nimetupa including the MPESA balance , kwanza wametuibia sana we just needed such kind of a revolution to deal with them ( ya equitel nimecheza chini kwanza due to technical issues ) …
@mukuna kindly avail the full list of companies tuanze kukaa ngumu .
Anko sema tu hapo kwa Equitel unaona kuboycot ni kama kuchoma kisiagi yet unadai sembe
culture
October 31, 2017, 4:29pm
15
:D:D:Dvumilia tu.but ile siku tutasikia something happened to you hatutauliza mbali
semeji niko ngangari , kujia dada yako baba amesema
chuka
October 31, 2017, 4:32pm
18
hata hizo ARV’s unamezanga ziko kwa list
system
October 31, 2017, 4:32pm
19
Your landlord is top in the list.
i own my house , jinga aviachieth , and its top ON tHe list si IN . NYANGAU