Hizi sanaa zitaisha lini...!!!

[ATTACH=full]178207[/ATTACH]

Hahah!! Labda hizo ndio zile za no keys, push to start

Ukiona hivyo ujue ni product ya lumumba wanaotuletea bajeti hewa.

Kinachowazwa na kuzungumzwa hakiendani na uhalisia
“Hapa kazi tu” bila vitendea kazi

hahaha bila hizi siku inakuwaga ndefu na maisha yanaboa

??

!!!

Hmm!..