Nahisi kama nimeokota kitu kinachofanana sana na almas yangu iliyopotea siku chache zilizopita,
Je, thamani yake ndo ile ile?
Karibu
Aksante sana! Hapa ni wapi, JamiiForums au Kenyatalk nilipopata mlango wa kuingilia?
Hapa ni Kenyatalk mkuu ila upo katika kimtaa cha JamiiForum
Ha ha ha ha! Ki Mtaa? Duh hii kali
Kiweke kwenye mizani uone uzito wake kama unafanana na ile almasi yako ndio utapata jibu sahihi.
Asante, wacha nijaribu
Kumbe na wewe upo!
Toka miezi 3 iliyopita nipo huku
Aisee! Kweli Dunia siyo kijiji tena, ni nyumba tu… Ila yenye vyumba vingi!!
Hahahaaa. Unafaa kuwa Teacher aisee.
[emoji125] [emoji125] [emoji125]
Hahahaaaa. lol
Akifanya ulichomwelekeza halafu asipate jibu nitamshangaa sana mdogo wangu.
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Ashindwe kumeza mwenyewe kabisa
karibu sana mzee mwenzetu
Karibu Safari
karibu sana
Kimtaa hiki kilikua kimechangamka sana wiki kadhaa zilizopita lakini naona sasa kameanza kua kimya bila kua na shamrashamra nyingi kama awali
Karibu saaana
Karibu mkuu.
Kuna kaupepo kabaya kanapita lakini soon mambo yatakaa sawa