Hodi Kenya......WANA JAMII FORUM NIMEFIKA SALAMA KENYA

Habari wanajamii forum,nimepata shida sana mpaka kufika nchi hii,Nimewamisi sana ila nyumbani wamesema soon mambo yatakuwa fresh tutarudi…Asanteni kwa kunikaribisha

Karibu sana “mwanakijiji”

Karibu sana Ndugu yangu Tupo Pamoja Ugenini Kwa watu Huku

karibu

Hii ni site ya wakulima nini maana kila mtu ni villager

lizaboni karibu litapwasi

Namtafuta Hajar wapi maana mpaka huku sijui kama ameniwekea kufuli la shaba

Mkuu Inabidi utafute shamba uanze kilimo haraka

Hahaha Si Vizuri kumuacha mwenzio Rudi ukamshike mkono

Hajar, ashafika huku mapema na sasa anachukua mafunzo ya kupiga wanaume kutoka kwa wanawake wa Kenya.

Hujapotea bado, karibu.

Yaani huku ukimbizini hata wakina Lizaboni wamekimbilia shimoni! Kweli hakuna aliye salama.

Vv

Hahaha Huku wakikuyu watamtoa nduki

Wacha ukabila wako hapa jamaa wa Tandale,bure kabisa.Bora useme wa kenya!

Kumradhi cheaf

Hamna noma,taratibu tu tutaelewana.karibu kenya hakuna matata.

Nashukuru sana Nipo naangaza angaza Ugenini Huku

Wala usi panic,ume fika nyumbani.chukua bakuli bado uji moto ,twendele na nondo bila pressure.

Naam tunaendelea kuwa wastahamilivu
Nalog off

Karibu mkuu jisikie upo kambini