Housing kitty

I need someone who can help me misappropriate money collected for housing to a tune of ksh.40,000,000 ,then together get fined 10,000 per below letter then share our spoil of ksh39,990,000 once we are out.

Anyone in housing department?

[ATTACH=full]233979[/ATTACH]

Day light theft. Tired of this country punishing it’s people

Tuliona…

https://www.kenyatalk.com/index.php?threads/jubilee-voters.107689/#post-2170718

Huduma number distraction number 2

Meffi umekuwa wapi,nimekumiss

Okay. Kwa hivyo ndio maana anaitwa @Bottoms ?

Ehhhhh yake ilishararuliwa kule majuu,kazi sasa ni kulialia tu…

:D:eek:

Uliona but you lacked the wit to frame the issue in such a cutting, acid way.

Ati mtu anaeza toa additional contribution voluntarily… Difference ya ii na paybill za mapastor ni eti mapastor hujaribu kukufunga macho na maombi…

Lakini ata mpige kelele,si hawa watu wata approach an employer,one at a time wakimwambia jaribu ukatae uone,employer akunje mkia na aanze ku submit.

They have us by our gonads,wanajua hakuna kitu tutafanya