How do you slaughter a cat and sell it's meat as samosa to the general public? SMH

What’s wrong with people?
This dude was arrested by kanjo today with cat meat.
[ATTACH=full]126093[/ATTACH]
It’s suspected the meat is sold as samosas to the public.

Shiny eye mungich @Wakanyama

6 Likes

Hehe acha vijana wa hustle…in some countries watu hukula paka and nothing happens to them.

1 Like

paka ni kama sungura tu…

7 Likes

Kwa hivo tuseme paka hio mtaa ya kwenu haziwezi jazana ukiwa hapo…:D:D:D

2 Likes

Hata mbwa…
kuna video ya watu wakinunua na kula nyama ya mbwa kule Ghana

1 Like

kitoweo,
Ndio maana makucha yangu hurefuka haraka…ala
Hii mambo nitachunguza

3 Likes

Angusha hekaya Bw VS!

Nyama ya paka is very bitter. Haikuliwi anywhere

Mwalimu amejitokeza!

2 Likes

@Touchlyrics hebu njoo kiasi.

4 Likes

zzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzz

1 Like

Hehehe.
Niaje msee wa monkey biriani?

4 Likes

Na Nyani pia…ama namna gani my friend?

1 Like

Ile paka ilikuwa inasumbua mtoi niaje?..nitumie kama parcel

1 Like

Jinga …wewe unaona aje? meffi

Hehehe ntalaunch mutura ya monkey karibuni…unakaribiswa

3 Likes

There is an animal that lives in the bush inakaa paka na huwa inapenda kula kuku sana…but watu hula io kitu na ni tamu

2 Likes

Hata wewe tupe hekaya

1 Like

:eek::eek::eek::eek::eek:kanu???

2 Likes