How i lost my artistic talent

I was in primary then,to be precise i was in class three.so me and two of my friends tried our luck in art by trying to draw our pregnant teacher.Kila mtu akaweka talent yake na we started sharing hizo picha tukirushiana class,sasa huyu dem akaona na as you would guess akaonyesha this teacher,she was so mad tukaambiwa tuende mbele ya class na tutoe our shorts(if you think this is bad kuna boy alikuwa stripped and told to go home,lakini thts a story for another day)
As if kutoa short was not bad enough mathe was told and what followed ilikuwa kichapo ha mbwa.she couldnt imagine mtoto akiharibikia class 3.
Thats how i lost my artistic talent.

hehehehehe, lakini, si kwa ubaya, we ungeskiaje mama yako akichorwa wakati ya ball yako, halafu uletewe na wenzako wakicheka???

Hapo ingekuwa vita,whether i win or not

Picha or it did not happen

Ungetoka kwa mimba upigane kwanza ndio urudi ama?

heheee! those pipo who kill peoples talents will not see heaven

ok sawa

whats wrong with pregnancy? Women pa a lot of money to be photographed in their bare essentials.