[ATTACH=full]74571[/ATTACH] Gone in 2 seconds.
Wish gava can zero rate cctv equipment kila mtu aweke,
niliskia ata hawa wezi huwa wanoma sana,tuere is a way ziug’olewa such that haitahitaji any fixing. itauziwa the next customer as a ‘plug and play’.
Alafu hizo car registration etched labels wanatoa aje?
i always wonder. no one will buy a part with registration details za another vehicle
why not just give that tuktuk the pit maneuver ?
KTMA 592U
sasa hiyo side mirror atauza pesa ngapi
solution: ban Tuk Tuks
masaibu ya toyota
There was a time I stayed with my bros Toyota for 3 weeks.yaani hata wiki mbili hazikuisha before I had to replace one side mirror.fucking toyotas
Tuk tuk zitatumaliz completely. From accidents to robberies, you name it.
Tuk Tuk haina shida. watu ndio wanaiba
The mirror itself is cheap and replaceable. The enclosure/machine is what’s costly.
Ah! Makes sense
Wacha ufala manki.he means the whole component i.e. mirror component plus arm.for example I had to ejaculate 7,000 for one side mirror coz those cuntz had damaged the side mirror arm
Hehehe and you called me blonde? Have a banana man
Ndio nimeambiwa sio kioo the main thing inaibwa ni that housing.
My bros Toyota had a problem na alikuwa asafiri so we exchanged. Ile stress nilikuwa nayo isiibiwe ama kung’olewa vitu. Nikuwa naingia pub zile naweza park mahali naweza iona pekee. Jioni nikifika home, naingiza ndani then naomba jirani his stalled car to block it.
Sighed a huge relief when he came for his car.
Seems the problem is all over Kenya
And the cops are ‘powerless’
Idonbilivit