Jana nimefika kejani saa kumi nikapata agent ameweka 2 Extra padlocks ,nikasema ni sawa acha niende nipate quarter ya hunters .Ya kwanza nikamaliza vizuri ya pili chini pia, kujaribu kusimama dunia inazunguka mbaya equilibrium ikaniambia kwaheri .struggled kiasi nikaketi .
Luckily ilikuwa ni local maboys kadhaa wakanichukua hadi maskani .how I got there and into the house sijui ,padlock za agent nimezipata kwa dustbin ,hao vijana walivunja mlango kwa hasira sana.
Mimi na hunters choice hatupatani tena.
I remember one day I helped my neighbour to jump over the fence ya ploti. Jamaa alikuwa amefungiwa nyumba, then akavunja padlock ya landlord. We used to stay in the same compound with the landlord. Next day nilipewa notice ya kuhama, that’s how I moved from a single house…I was not prepared. Sijawahi omba watu pesa like I did.