Huu ndio mwaka wa kupata BIBI kutoka Kenya

Kule kwetu Ya Tz, tumelazimika kuondoka hata kama hatutaki, hata kama wenye mamlaka tumewaweka sisi wenyewe…

Sasa ndugu zetu waKenya mmetukaribisha huku, kwakweli tunawashukuru sana…

Ila sasa mtuachie na dada zenu ili tuunge undugu vizuri

Hahahaa. Ally Kiba Style.

Hawana hiyana hao jihesabie ushapata Mkuu. Hahahaaaa.

Mwanaume usipende kuachiwa achiwa. Ile kauli ya kula kwa jasho unadhani matumizi yake ni wapi.??

karibuni sana mjifeel venye mko nyumban

Huu ndo mwaka wa kupata MZEE toka Kenya

kw

kwa dada zetu hapana. nyie mnabaki kuwa wakwetu na wao watuachie dada zao

:D:D:D:D:D:DSio vizuri

wewe ni wetu pekee yetu na wa kwao wa tupe. tunamiliki nyumbani na ugenini.

Huhuhuhu saweni tuu ilaa

Chao chetu na chetu ni chetu …hawawezi kubali labda tufungulie mbwa atakayepata na apate anachotaka

malizia le dada. maana hata mimi uzalendo unataka unishinde. bora nimiliki wa nyymbani kuliko kuja kuchapwa mitama na madem wa kenya.

h

hamna fungulia mbwa hapa. tunamiliki zetu na zao tunataka pia

kwa kweli watukaribishe pia na dada zao watupatie.

Kumbe na wewe upo ukimbizini? Hahahaaaa, kwelikifo cha wengi harusi

Hahahaaa. Lol

Teknolojia kweli inanguvu, watu wanaonana mahali wasipotegemea

Hahahaaa. Acha kabisa.

Nina maswali yangu kibao Sesten.

Nipo tayari kuyajibu moja baada ya jingine, karibu Hajar

Mdogo wangu nimefurahi kukuona jamaani.

Tupo Kenya sasa. Lol

Hahahaaa. Sawa.