Huu ukimya wa jiwe vipi?

Nauliza tuu jamani Jiwe kawa kimya hivi karibuni kuna nini? maana ukimya wake ni nafuu kwetu wengine. Toka Papa amchague au anatafakari ngoja tusubiri atakuja na lipi

Ukiona yupo kimya ujue tayari amesha toa maelekezo na maagizo kwa wasaidizi wake.
Rejea sakata la korosho, na tamko la spika wa bunge alivyo mimina ule mkwara. Bilashaka Nape, Bwege pamoja na yule mama wamegeuka na kuwa kama Tomaso.
Ebu ngoja kwasasa niishie hapa kwanza

Kick siku hizi kila akija nayo ina buma!!!lazima apate tabu sana kuibuka na kick yenye mashiko!!!

Unataka aongee nini…
Yale yote anayotaka kuyafanya ili apate sifa, Serikali yake haina hela…
SGR haina hela, Kujenga bwawa la umeme Selou hana hela nk nk.
Hakuna project yoyote ambayo anapesa ya kuifanyia…
Ndio maana kukimbilia kupokea gawio hewa la 1.5Bil kutoka TTCL…
Kutoka kuinyoosha Nchi na sasa Nchi kumnyoosha yeye.

Hana jipya kila kitu kimebuma amekata tamaa alidhani atapata pesa za makinikia bure kumbe akina Mruma.wamempotosha.

hahaha mruma mungu anakuona

hahaha

Anawaza wa kumtumbua kutoka Nyanda za juu kaskazini

Duh kumbe gawio ni hewa?

mmhh

mmhh!jamani ni kweli lile gawio la rudi nyumbani kumenoga ni hewa/?kwel moto utamuakia kila aendapo.

Katulizwa na jojo

Hajaokota tena vichwa vya treni?

Anatumikia penzi lake jipya

M

How? Umeniacha hapo

Penzi jipya lina mambo mengi.

Hujasikia kua kapata manzi mpya?

Mkulu yuko majalala, hana kitu atasema nini watanzania wakamuelewa

Asee Sijaskia

Basi ndio hivyo mkuu jamaa anamiliki mrembo ata wewe hauna

Kwa nani?