@admin nini mbaya na kijiji? Avatar zimemalysia wapi? Na hizo Google adverts utoe bana. Sitaki kununua mchele banae
[ATTACH=full]294528[/ATTACH]
@admin nini mbaya na kijiji? Avatar zimemalysia wapi? Na hizo Google adverts utoe bana. Sitaki kununua mchele banae
[ATTACH=full]294528[/ATTACH]
Niaje dereva??
Usiniite dereve bana. Hii covid-19 imeniharibia form niaje.
Ayayayaya lakini usjali lamdlord akikuja kaa ngumu usimpe mashillingi
Mimi bana nimetoka kwa nyumba jana nikaenda kubugia pombe kwa bar ingine inafungua chini ya maji. Ubaya nilikunywa haraka sana mpaka pombe ikaniharibikia.