I Need a VOICE-OVER audio

Wakubwa,nahitaji voice-over audio ya kuweka ka Skiza Tune na pia kutumia kwa promo video.

Script iko tayari :80-100 words.
Nani ataokolea?
Na charges naexpect kitu kshs.500-700

Audio ikuwe high quality tafasari

after lunch, acha niapate ka-siesta.
Nafuta mrembo moja huko kwa zakibag, am sure you will one with sweet voice.

Bora audio ikuwe high quality

Nipe hii tender. I am a VO artiste. You wont be dissapointed

Ukipata share code tukupromote

yule jamaa wa viatu ni miaa mbilii kwa stalls ako aje?

Hizo pesa ni kidogo.

Tuma sample nisample

kabisa

Hiyo ndo naweza mkubwa

Jamaa yupi?Sikuelewi

Ukitaka quality, do it in a recording studio and they charge per hour.

Voice over for 700 shillings for 100 words?? Peleka hiyo kazi yako tao mahali kuna maandamano! Mscheeeeew!

I have a super bass. ongeza 250

hehe.najua sauti yako iko specialised kuTibim na kuTialala

Sasa itabidi niingie Fiverr

Kuna wahindi cheap lakini sijui ka utatoboa na hizo accent zao.

Tafuta dj Afro amigos ama mwakazi wa citizen

http://www.djdropsbywigman.com/
Ingia hapo kwa Wigman upate Drops na voice overs za Radio, Djz na production. Bei yake iko tu sawa

swafi.ebu niangalie mkubwa