Wanakijiji … Habari zenyu. I need some serious business ideas that will give good returns. I am looking at a budget of 500k for a start. Ideas zikuom …
Si u import vitu kutoka dubai, ama u export vitu uko…
I don’t know how hands on you are lakini lazima watu waweke kitu kwa physical tumbo
Open a simple store and stock the normal daily household items e.g sugar, salt, milk, bread etc with 50k. If you manage to make a profit, you are a business person so you can possibly make money. In the process of running it and interacting with fellow store owners, you will find your best niche. With time you will realize 500k ni pesa kidogo sana that you shall only waste trying to amass ridiculous amounts of wealth.
Sina la kuongezea…umempa kanono wosia wote.
Ends gym na ungare mucustomers wako watarudi tu
No longer in dubai. Left last dithemba
Hizo ideas zikwuom musakhuru
Hehe @Adeudeu … ok. Btw hio jina yako inamaanisha nini. Iko fuany somehow
Gani hizi tena… @uwesmake nyama mbichi hii hapa
open a spa / massage parlour and employ cute girls for the job at hand(sic!) alafu malipo yao ni happy endings wajitetee…very brisk business, use mpesa or eazzypay to prevent theft and make millions from the hundreds of Kenyan men who are unsatisfied at home…hint, the posher the location, the higher your charges…thank me later
Sasa kazi ya kuchunga ngamia uliwachia nani ? Ungeniwachia na mimi nikuuzie ka biashara kana ni sumbua
I’m of the idea that if you’re asking people for an idea, you should take it easy with the entrepreneurship. This business of replicating an idea is why many start ups fail within the first six months.
IMO, look for something unique you can bring to the table. What skills or services do you have that people can pay for at a premium.
Seek advice from @Dark masai atakuchanua
if you are ready to earn 4-6% of your 500k per week… inbox tuongee…
Hii yako ni pyramid ama shylock
Why inbox? Don’t you want the rest of us to get 6% per week(equivalent of 312% p.a) returns?
you can always go into prostitution
[ATTACH=full]90408[/ATTACH]
Ok … [SIZE=1]pigwa kuni[/SIZE]
:D:D hii Nairobi vile nimeona biashara yeyote ukianza kuwekewa percentage, toka mbio.
@Kush huko nini inapatikana unaweza letea raia huku 254? If you find something ata kama ni shisha, ma perfume, materials, carpets etc unaweza leta then unauza na wholesale. just try to be abit unique halafu ufungue ka stall kadogo downtown majamaa wawili wa sales na uendelee na kazi. You are welcome.