I'm broke

[MEDIA=twitter]1129270321859649536[/MEDIA]

hii ya mahindi ni weriii walipora weriii wenzao

Hii kenya ina wenyewe…NCPB is eating its own people livelive

Watu waache ujinga. Were the millers not supposed to go pick the cheaper maize themselves kwani NCPB was supposed to sell the maize and transport it to the millers themselves?

Na tangu upewe ile tender ya hujuma namba siku hizi unapenda serikali kuliko Uhuru mwenyewe. Afadhali ungeongezwa kiti ya Kiraithe pia.

Bana.
Sirkal can do no wrong in the eyes of this muzee.
Shait.

sasa hapo sirkali imefanya makosa gani? wacheni kuniingilia hata mbeleni nilikuwa na-support sirkal.

Ncpb-suppliers-millers.
Lakini pia wewe siku hizi umebeat,if gava wasn’t or isn’t on the wrong then why is it telling us hakuna pesa ya transport?

Proverbs 12:19 - “Never go full retard.”

You’ve gone full retard.

hao watu kama huyo CAS Tuimur ndio nimesema waache ujinga. miller akinunua mahindi cheaper than market umuonyeshe mahindi yako gunia 2000 ndio hizi chukua wataleta casuals wao wachukue mahindi waende.

saitan:D:D:D

Ahaa,ni vile siku izi unlick butt Sana hatujui position yako kapisa kapisa.

by the way, my friend @Makonika , even acting retarded is communication.

Oohh eehh and ur right @ gashwin.shida lazima broker akule ama the harder truth ,hakuna mahindi .

position yangu changes with the situation so stop trying to understand . can we stick to maize mambo ya butts peleka kwenu.

mahindi iko lakini iko ghasia ina-blackmail serikali hakuna pesa ya casuals ndio itolewe wakule.

But just a month ago kiunjuri was saying hakuna mahindi Kwa stores and gava should import some

Anyway, if you have been following these maize stories you know that we go from one crisis to another. the crises are meant to make government release funds. i even suspect the current unga price rises are artificial.

[quote=“gashwin, post:18, topic:191150”]

Anyway, if you have been following these maize stories you know that we go from one crisis to another. the crises are meant to make government release funds. i even suspect the current unga price rises are artificial.
[/QUOTE
I think gava haina pesa for real.its real it’s broke.[/QUOTE]

@Makonika how did you not know this. Fool.