Imagine unatoka kwenyu ushago kuja kuishi Nairobi Paipu Kama IDP

See this life. Guess why wame cover nguo na karatasi za polythene?
[ATTACH=full]259498[/ATTACH]
Ati ndio nguo za juu zisimwage maji kwa nguo zako… au kukunyesha nguo zako ziwe protected from the rain.

Alafu view ya mkamba @vuja de from his balcony. Unaamuka unatoka nje kwa balcony ku stretch alafu iris zako zinaona poverty…una give up na life apo hapo.
[ATTACH=full]259500[/ATTACH]

Unarudi keja unavaa ndio uende job kwa mhindi…

Pale kwa mlango b4 going to work

VUJA DE:
[ATTACH=full]259507[/ATTACH]

Kheri ningebaki kwetu Kitui … Nairobi Nairobi (insert Dj Shiti voice)

Its surprising how many people feel proud of living like that. So many are okay and will even elbow you out at 6pm for a chance in a smelly matatu heading to such places. One day, not in the near future, but one day people will open their eyes and see the Paradise that is Kenyan countryside. Wengi wako Nairobi sababu kuna stima, maji, na choo. It’s a pity.

Hiyo ni hard tackle but it is the honest truth. Some Nairobians live in worse conditions than watu wa ocha. Hizo appartments ngori huwa inakuja time ya kuhama ama time hakuna maji. Imagine moving from the 6th floor of such a house into a similar one

wrong, many are in nairobi because of job opportunities, how many muhundi companies are in up country? Basically in Kenya everything is squeezed in nairobi, you can’t blame the folks, a town like thika was left to collapse, many companies should have been encouraged to set base there or even nakuru which I think by now hardly any manufacturing goes on there.So sio kupenda yao kuishi hapo, you can’t live in ruiru or all the way to makuyu and work in industrial area.

Wengine hata wanajaza nairobi coz they’re doing nothing… wako jobless

True. So many people are just increasing the congestion in towns, especially Nairobi. So many opportunities are in the rural areas but many can’t see that.

Sad reality is these people overburden the systems from traffic, power, water and sewarage yet they pay zero or minimal taxes to the county and national governments.
But you know why they survive?
Politicians see them as voters first.

Leo umeniangusha Hakuna harvesting kales in kinyambis?

The air inside those rooms must be very damp. Halafu with the little light creeping in you must put on the lights during the day. But heri hizi kuliko zile za huruma next to the river

The population in this place is unsustainable in the near future. Kuishi hii place ni extreme spory

Plus side ya hii mtaa kunguru wanaoutnumber ndume, hawatambui dryspell huko

With all those many clothes, I can only imagine the sizes of families living there. God forbid, but such places should never have a fire outbreak. Nairobi is too congested.

Walai all i see is $$$… uku occupancy ni 99% landlord wachezea bilionare level. Mungu nionekanie nipate 15 m ya kununua kashamba uko.

I always wonder whats the fuss about nairobi …

graduates wote, mbiooo nairobi … smh. Acha tu nitulie hii nakuru, cha baadae mambo ya Mpangaji hayo.

Sasa mbona NEMA usumbua akina mama mboga na me naona nylon acre mzima hapo

The only opportunities in shagz are in agriculture. Inakaa hujawahi ishi ocha wewe.

I already seen that and already planning to put up a pigsty

Hawa tenants ni wale sumbua. Not so fast. Itabidi ununue glock kudeal na tenants.

Vijana wengi wako nairobi rent hulipiwa na mzazi ako ocha, earnings za ocha

Umeffiiiiiiii!!