What a better way to honour your family member and friend than to restore Klist which was the brain child of Jimmy. This would mean alot to the late and would make hime Rest peacefully and in smiles. He started Klist 10 plus years ago. Klist was like his mtoto. Letting Klist die jus like that is like ignoring the kids of a departed soul. And what a better way it will be to keep Wanderi’s name burning and people to remember him. Owise after mazishi watu watamsahau!! ni hayo tuu for now na sijaongea mbaya!!
ION: naskia wasee wamechanga 85K upto now!! Believe u me if Klist was alive and kicking hio 85K ingekuwa x2 or even x4 more. U know what and true story, a long lost friend of mine whom i met in Klist sent me an Email over the weekend asking about Wanderi’s demise. Imagine she found out about the death after kucheki Obituaries na ilikuwa kibahati since many peeps hardly read obituaries. In short many Klisters are not aware Wanderi is no more. Bado kuna watu who try loggin in Klist lakini wapee. Revive Klist even if its for a short while, trust me itasaidia …Surely sasa 85K ndio nini, si hio ndio what Klist Charity ilikuwa inachangisha and i hear hio 85K watu wengi ambao wametoa reside in Steto. Klisters wangetolea huyu boy hata Mita moja (1,000,000).
Akuna story za Intern, hio ni porojo tuu, Wanderi used to check on his site on a daily basis na kama ulikuwa mjanja u must have noticed Wanderi’s presence late hours usiku kitu midnight!!.apo ndo changes mob zilikuwa zinafanyika vitu kama introduction of notifications na maendeleo zingine. Klist iliangushwa na Mauki family who reported the site kwa hosting site and hence brought down,niko na evidence…ngoja hapo nakamu nayo…gimme 10 minutes