inside a reggae jam session...see the galz<---Sema Kiatu

[ATTACH=full]1226[/ATTACH] [ATTACH=full]1227[/ATTACH] [ATTACH=full]1228[/ATTACH] [ATTACH=full]1229[/ATTACH] [ATTACH=full]1225[/ATTACH]

eish

finally tumejua rika yako. maliza shule kijana

1 Like

MBWA WW…ninaweza kugawia miaka toast

utanigawia miaka alafu urudie kunyonya ama?

eish… msuguano imenasa niaje?!

sikuhizi jamsession ni umalaya na wizi

o_Oo_O the sick generation

Don’t pretend we didnt do this during our time a s teenagers. Na kumbuka nikienda F2000 every sunday na wakati inafika time ya ragga tulikuwa tunafanya the exact same thing ni vile tuu ma smart phone na social media hazikuwa around. Heck i once saw some teenies having sex kwa sofa za F2000…zile sofa zilikuwa na kule nyuma wacha washikwe na ule bouncer alikuwa anaita Tyso aka Tyson…walibumburushwa

1 Like

juu ulikuwa kwa zoo una swing kwa miti nkt…toast bandia

6 Likes

:smiley: @ol monk hapo hujaambiwa vipoa

Hehehehe

Hahaha eti zoo