My daughter has broken her iPhone X, it’s only 7 months old:mad: I have just had an online chat with Mac & More Solutions Westlands and they have quoted 40k for the screen and 20k for the back cover. Does anyone know a cheaper place I can get it fixed? TIA
Unfortunately, watu wengi hapa huwa wanatumia Infinix na Techno na IPhone wameiona tu kwa advert ya tv.
Wakanyama anakutafuta
Haina guarantee? Ama Kenya hamutambui guarantee? Anyway baby gal check inbox. Kisses
sweetie kama mtiaji randy hakusabotage biashara yangu ya pre paid meters ningekukamatia mpya.cheap and you hazipelekani
If you wont find any outlet to repair the phone for like half he amount quoted then i would rather you just bought a new gadget…60k for repairs is just way too much.
Says my fellow pe-ass-ant.
Tiga wana meni!
heshima ni muhimu sana kwa hii thread
if you can afford to get her a 90k+ phone,60k won’t hurt,alternatively,tell her to hustle till she is able to pay for the repairs that way she’ll know the price to pay
wacha utundu,my tiny friend hakuna vile unaweza facilitate hizo burungo kutoka bendora?
huyu mwoman nilishaingiza box. We normally whatsapp each other and wish each other good night…She loves me. Deal with it…ghasia
[ATTACH=full]220126[/ATTACH]
[ATTACH=full]220127[/ATTACH]
Thats a perfectly functioning phone
Iko na Warranty but that doesn’t cover screen damage.
;)
ningekuchangia kakitu nivile siko mjei kesho
Hahaha mnunulie infinix Anyamaze atalearn lesson
Lol! She’s only 16 by the time afikishe bei simu itakuwa imechapa:D
Ndio nimemwambia anataka kulia:D