IRREDUCIBLE MINIMUMS ZA OCHA

POLITE NOTICE

1.Hapa ocha hakuna washroom, tuko na toilet or latrine na ziko 1km away
2. Tissue paper ni herbal, nafikiri hapo tuko pamoja my frens
3. Couples hakuna kulala pamoja, mulikuja ocha sio honeymoon mombasa.
4. Ujinga ya kuitana beb, swee, darl, bae na chieth zingine sampuli moja musijaribu hapa.
5. Choo hazina mlango kwa hivyo ukikaribia unakohoa ni kama uko na homa halafu mtu ako ndani akohoe tena.
6. Shop za huku wanauza bamba 10 na 20 pekee. Ujinga ya tao ya ati “uko na credoo ya 1500 imeshikana?” Hatutaki iyo ufafuu
7. Hatutaki maneno ya kuboycott chakula ati uko na allergy ya waruu na ugali!!!
More coming…

Bungoma iko jotoo!

Boss I was born and brought up in the remotest part of this country lakini sahii nyumba ya mum iko na stima, choo ni nje lakini iko na tissue, mlango na hata bathroom kando, niko na nyumba yangu three bedroom so nikienda bado nanyandua wife, sisi watu wa Nai tuko kwa post paid, mambo na airtime hatutambui, I enjoy village food and busa more than anything else during such visits.

Uko Western?

No. 5 :D:D:D:D:D:D

Upus

[ATTACH=full]147694[/ATTACH]

Nope, nimefika Nairobi leo asubuhi niko job kwa Mhindi, lakini wanafunzi nimemalizana na hao. Sahii sasa mimi naanza Xmas yangu, jioni uko wapi tuteremshe Konyagi?

Niko bungoma thought bado uko niko nakasherehe hapa karibu musikoma ,ndugu mdogo anaoa khupipi.

He he he, si ungesema, kwetu ni just across, hapo Sang’alo. All the best.

You know kina waliaula’s family hapo sangalo?

Tuko pamoja especially hapo kwa ‘boose’

Kesho ama leo kuland huku?

Sunday very early

Yeak I know them Balunda, we went to the same Primary School.

Kwani hiyo oshago iko Baragoi ama?

Nilikunywa busaa nikatapika 3days straight. Wacha nibaki nameza tuu napoleon

:D:D:D:D:D…niaje mono

Nakumbuka wedding ingine tulienda ishiara after buying meat from all the butcheries ndio tilikula coz wanastock half kg each. Weddo nayo food ni njahe at 5pm. Kuna ocha,na kuna ocha.

Kwa maslay queen majI moto ya ngombe kukamuliwa inahitajika ndio ngombe iskie mbambolass.

Georgina discovered her funny bone