IS CONDOM 100% SAFE

elders I bow before thee seeking thy help, Leo nimepatana na a strange whore, am saying strange because she seemed to be enjoying sex, hadi akamwaga ,that is where my worry is, because she was moaning sa hio amemwaga my balls were wet, kitanda ikaanza kunuka omena… I was using trust condom ,my question is can I be infected?

Nothing in this world is guaranteed 100%
ni hayo tu

she peed on you
lakini wewe pia yaani unaamkia lanye Monday asubuhi na mapema

The major worry, prior to corona, was HIV. There is PEP, a one month combo to prevent infection if you are exposed. It’s free, endea hio kwa hospitali ya serikali.
Corona hatujui kwa sasa, mulivaa mask?

Hauezi rule out kabisa. Best thing if you are not sure enda hosi asap uget medical advice. It’s your life bro usikuwe na aibu.

Pep sitatoboa unless I quit my job, but condom was intact haiku pasuka

Then wacha umalaya

Mbona hauezi toboa PEP?

Nimeambiwa hizo dawa hupeleka mtu mbio, my job is demanding

Kama akona herpes, hauna bahati kama amekukojolea. CD ni ya kaswende na Ukimwi.

No, the effects vary. Don’t gamble your life ju ya dosage ya siku 28.

Kunuka omena, points to infections of some kind

Achana na malaya bro

ati kunuka OMENA

Nimeenda kwa clinic, wamedemand nikuje na yeye

Nimeacha, I think am ready to give my life to christ

If the tip of the condom was intact and you dont have wounds opening kwa balls ,you need not worry
Mimi if I get such situations, nachukua maji kiasi namwaga kwa the used cd…just to confirm the tip is okay

hehe kwisha wewe, the aids dipped into your ass crack najuu huogangi poa, there were obviously some open wounds there

https://www.youtube.com/watch?v=fojepMfbIs8

Cost of post exposure drugs is around 5k
Patia Malaya 1k na umpeleke test
Alternative ungoje uanze ARVs for life!!
That’s a wasted moment, ungeingia tu dry fry , after all you are dead anyway

What if you can’t get hold of her? Explain to the doctor the situation properly and get the right medical care. Don’t despair whatever the outcome.