Nmepika ugali ya watu wawili nikakula ya
mtu mmoja nikashiba alafu nikatoka nje nikabisha mlango kama mgeni,nikaingia na nikakula iyo ingne!!
Mwili haijengwi na mbao
Kuishi kwa nyumba ya mabati ni tricky. Even tearing a royco mchuzi mix sachet to spice up your food keeps your neighbours thinking hard...."Si nimeona akiingia peke yake, condom ni ya nini sasa anararua?
Nmepika ugali ya watu wawili nikakula ya
mtu mmoja nikashiba alafu nikatoka nje nikabisha mlango kama mgeni,nikaingia na nikakula iyo ingne!!
Mwili haijengwi na mbao