Ivi nyie wakenya hamtafuti patners??

Kule jamii forums kuna threads nyingi sana za either wanawake wakitafuta wanaume wa kuwaowa au wanaume wakitafuta wanawake wa kuwaoa. Sasa huku kenyatalk vipi? Ina maana wanaume wa kenye wote wamesha pata patners mtaani, na wanawake wa kenya wote wameshapata patners mtaani??

Ondoa ushoga hapa elder.

Hujui meaning ya neno shoga , i advise you to restrain using it!

Sawa elder, Hilo jina Lina maana gani?

Hapa ni malanye wako. Fika bei uwache dry spell. Juu ya hii story, meffi wewe

Huku hatutaki mizigo,tunataka kazi rahisi,kutombana na kuingia mitini

Ama ningesema toa usenge hapa? Or stop with the faggotry?

:smiley:

I am El Señor de Los Gallos
El gallero, so they tell me
Since morrillo I liked to work
We are all thugs We all
carry pistols
Memories of Sánchez
I will never forget them
I have a line with Nemesio
From Michoacán
What I send, we catch it
That it reaches the other side
That’s why everyone tells me El Apa
And the ropes well pending,
all ready to attack

MGTOW brigade ndio inatawala huku

Ni tafutie msonjo ama mzaramo wa kuoa

‘Nyie’ ndio mnyama gani?

Watoto wazuri wapo kibao, tuma pesa ya nauli ata leo anakuja

Hahahaha, nyie means “you” when referring to second Person. (plural)

[SIZE=6]pwagu kampata pwaguzi tafakari hayo.[/SIZE]

Aaah,ni kama ile ya bazungu wakisema “ya’ll”

Mimi najua tu ‘nyee’.

Nyee ni nini , au ndio nyee nyee nyee fimbo ina chapa

Hata link ya uzi unayosema hakuna.

Pelekea Makufuli hiyo ujinga