Jamaa wangu ana suspect ame exposiwa. Anasema kwa dating site matches wameincrease lakini ni kama Dana maswali mingi kama interview. Ana suspect wanapost hizo chat. Lakini worst amepatana na madem hawajui wanacheka na wakaanza kutype kwa simu. Msee ako stressed. How can someone know kama amewekwa kwa mtandao? Kuna groups tunaweza cheki?