Jamaa anajuaje kama ame exposiwa?

Jamaa wangu ana suspect ame exposiwa. Anasema kwa dating site matches wameincrease lakini ni kama Dana maswali mingi kama interview. Ana suspect wanapost hizo chat. Lakini worst amepatana na madem hawajui wanacheka na wakaanza kutype kwa simu. Msee ako stressed. How can someone know kama amewekwa kwa mtandao? Kuna groups tunaweza cheki?

2021 tulisema tunawacha umeffi ya jamaa wangu na tunajua ni wewe

Following

Wah

[ATTACH=full]343766[/ATTACH]

Jama wangu = mimi

Fellow villagers mnalose focus. So nikisema ni Mimi nitapata jibu? Maybe ningeulizaa in groups gani zinakuwanga na maexpose. I think nitarephrase

Small sedes problems.

Sedes ni? Sielewi

sema tu ni wewe kabla tuendelee

Vitu mingi sana hauelewi

Mwambie awachwe kubabaishwa na vitu minor ka hizo he will be an adult soon