wale wa location hapa ni wa?
(KCr 500)
[ATTACH=full]223699[/ATTACH]
By the way what happened to them? KCr…zimendimika kama bitcoin. Kwani mine ilifilisika? Ha!
hapa inakaa mwambatha
@Meria Mata ile KCr ulinirushia nilipojibu swali lako la the first concrete/stone building in Nairobi ilimalizia kabla nitumie. @admin fanya mambo Bwana
jomvu
Dongo kundu mbypass
hapo ni yard ya lochab opposite apm terminal na ni past mabati company msa
mataa ya ndege ( between jomvu and mikindani)
Benvick, karibu na Mataa ya ndege.
Koibatek forest on your way to total junction.
Mteremko ya Mai mahiu escarpment . Naskianga hii place ni steep sana.
kama ni mombasa then ni between miritini na mikindani, io njia ilikua ikitengezwa
VC hizi karai hubeba nini, clinker au simiti?
Clinker