Nimejaribu kuingia kwenye mtandao wa Jamii Forum, nikakutana na taarifa ya Uongozi wa Jamii Forum, wakidai kuwa wanaboresha huduma na watarejea Very Soon…
Nimekuwa nikijiuliza hivi ile dhana ya Jiwe ya kuonbea malaika washuke toka mbinguni waje waizime JF, kumbe hizo “wishes” zake bado hazijafa tuu??
Kabisa. Ya kawaida kabisa; kama isivyokuwa ajabu paka kula panya. Ila naomba ujiweke kwenye viatu vya panya (sorry, miguu ya panya maana panya hawavai viatu), halafu uniambie ukawaida huo wa wewe (saa hiyo ukiwa panya) kuliwa na paka.