Una binti anasoma secondary, tena huku chini kwenye Ordinary Level, yuko form II-III. Unamuoana anatumia smart phone ambayo hukumnunulia unashindwa kumuuliza aliipata wapi? Siku hizi ni rahisi kushinda bahati nasibu na lottery kuliko kuoa/kuolewa bikra.
Ukimpima msichana na umkute hana ngwe ngwe hiyo ndiyo bikra yenyewe.
Samahani…hivi wewe bikra yako ilitolewa ukiwa na umri gani?..just be honest ili tuweze kuendelea kudadavua mada
Muulize @Babu Asprin lakini nilikuwa A-levels. Haikupata bahati ya kwenda chuo.
Hapa ofcourse ulikuwa tayari mtu mzima…unajua utandawazi unaharibu sana…visichana vidogo vinalalwa sana
Tuwe karibu na watoto wetu, kujua wanafanya nini. Ni jukumu letu kulea taifa la kesho.
Wanangu nimewaambia nikisikia boyfriend/girlfriend mtu awe chuo, chini ya hapo hilo neno ni forbidden.
Ni kweli,na wakati mwingine waambiwe waziwazi kabisa
kwa wenye watoto hapa ndio pakupatolea macho mno
Nasiku hz kuna series wanajifunza mapema tu
Maadili yamepotea …mabinti wa sasa wanajua style za kitandani kuliko wazazi wao…
Una binti anasoma secondary, tena huku chini kwenye Ordinary Level, yuko form II-III. Unamuoana anatumia smart phone ambayo hukumnunulia unashindwa kumuuliza aliipata wapi? Siku hizi ni rahisi kushinda bahati nasibu na lottery kuliko kuoa/kuolewa bikra.
Ukimpima msichana na umkute hana ngwe ngwe hiyo ndiyo bikra yenyewe.
Hao dawa yao wawekee spying apps kwenye hizo smartphone, utakayoyaona yatakusisimua
Eli79
June 21, 2018, 6:21pm
16
Kama yako ilitwaliwa ukiwa A level, Kwa nini uwakataze wao kufurahia ya dunia hadi wafike chuo?
Umeamua kutoa siri za ndani?
Kylie
June 22, 2018, 5:48am
18
Kazi sana kulea watoto awamu hii, uncle jiwe kabana sana jamani
Sakayo
June 22, 2018, 6:12am
20
Wazazi wamekuwa busy saana! Wengine hawana kauli kwa watoto wao!