Mtandao wa jamiitalk kwa sasa unapatikana hivyo nawakaribisha kujiunga na mtandao wetu ili tujadili mambo mbalimbali.
Mijadala ya kiswahili, kingereza na kiafrikana kwa sasa inaruhusiwa.
Visit now www.jamiitalk.com
Mtandao wa jamiitalk kwa sasa unapatikana hivyo nawakaribisha kujiunga na mtandao wetu ili tujadili mambo mbalimbali.
Mijadala ya kiswahili, kingereza na kiafrikana kwa sasa inaruhusiwa.
Visit now www.jamiitalk.com
Kiafrikana ni mavi sampuli gani?
Ngoja nikajiunge…these motherfuckers jamiiforums wanapiga watu ban unneccesary kama madikteta…now,they have to behave,competitor is in town!
Hio na jamii forums same WhatsApp group … #goodluck!!!
The Kenyan section of jamiiforums is full of toxicity.
Unaweza tumia hata kingereza tu
Asante karibu sisi hatutakuwa wakali
Tutajitahidi kujitofautisha
Karibu jamiiTalk mseya
Karibu jamiiTalk mseya
Huku tuna talk free na kujifunza na ndio tunasema let the jamii talk karibu sana via www.jamiitalk.com
Mkuu hili ni tatizo gani?
Nashindwa kujiinjoi na mtandao wa JT!
Niambie narekebisha vipi.
[ATTACH=full]428022[/ATTACH]
Same problem here …kujoin ni tatizo
Was Bongotalk taken?
Tushatatua kwa sasa unaweza ingia na kuperuzi vizuri tembelea na sasa uanzishe mada
www.jamiitalk.com
Hilo tatizo linafanyiwa kazi ila kwa sasa kama ulijisajili tayari unaweza kuingia
Niaje Wakwitu. Naona umevuka boda kama Jaguar
Tunajaribu kuweka ujirani