Mtandao wa JamiiTalk wenye Makao makuu yake Tanzania unatarajia kuanzisha mashindo ya Mwandishi bora.
Ambapo kutakuwa na mwandishi bora wa maudhui ya kiswahili na Mwandishi bora wa maudhui ya Kingereza.
Hivyo hivyo kutakuwa na mwandishi bora kwenye majukwaa tofautitofauti.
Mashindano hayo bado hayajaanza na maelezo zaidi yatatolewa hivyo fuatilitia mtandao huo kujua mengi