So jana after wanakijiji kuniamulia nilitoka job alafu nikapitiae karma beste yangu anakuwaga na ka wines and spirit fulani pale river road.nikaitisha poison yangu {legend}.nikameza mdogo mdogo tu...kidogo shinny eyed fulani akiingia nikaona akiweka ile kitu sijui inaitwa aje kwa mdomo.nikaambiwa ni kuber
Nikamwambia nataka kujaribu.akanigawia kadot.mimi huyo nikaambiwa niweke hapo chini ya ulimi na nisimeze mate..lost memory in less than 10 minutes.nikablackout.my frend sijui vile nilijipata kwa choo ya kanjo.naskia kuenda choo but hakuna kitu inatoka ..i thank God coz nilifika mtaani safely.am yet to do an investigation on that drug.
lakini niko chonjo wadau
Nikamwambia nataka kujaribu.akanigawia kadot.mimi huyo nikaambiwa niweke hapo chini ya ulimi na nisimeze mate..lost memory in less than 10 minutes.nikablackout.my frend sijui vile nilijipata kwa choo ya kanjo.naskia kuenda choo but hakuna kitu inatoka ..i thank God coz nilifika mtaani safely.am yet to do an investigation on that drug.
lakini niko chonjo wadau
Last edited: