jana...kuliendaje

culture

Village Elder
#22
Nikiwa na EXTRAIL siwezi kunywa legend na kuber.


But seriously hio kitu muhindi mwingine ngombe alinipea nilitapika kama panya nikasema never ever . Halafu ile tumbako ma grandpa huwa nayo niliiba siku moja nikarusha kwa mapua nikasniff vile naonanga wanasniff vipro. Nili sneeze mpaka liver nikasema never ever .
i said it here @uwesmake mimi sinaga class.i take what comes my way .ata changaa nikienda ushago nakunywa tu nikiipata
 
Last edited:
#25
So jana after wanakijiji kuniamulia nilitoka job alafu nikapitiae karma beste yangu anakuwaga na ka wines and spirit fulani pale river road.nikaitisha poison yangu {legend}.nikameza mdogo mdogo tu...kidogo shinny eyed fulani akiingia nikaona akiweka ile kitu sijui inaitwa aje kwa mdomo.nikaambiwa ni cuber

Nikamwambia nataka kujaribu.akanigawia kadot.mimi huyo nikaambiwa niweke hapo chini ya ulimi na nisimeze mate..lost memory in less than 10 minutes.nikablackout.my frend sijui vile nilijipata kwa choo ya kanjo.naskia kuenda choo but hakuna kitu inatoka ..i thank God coz nilifika mtaani safely.am yet to do an investigation on that drug.

lakini niko chonjo wadau
Take it easy. Don't take this village so serious, whatever they call you, or say, take it easy, and move on. Matusi hupita kwa upepo so my grandmother said.
 

uwesmake

THE PRESIDENT
#28
i said it here @uwesmake mimi sinaga class.i take what comes my way .ata changaa nikienda ushago nakunywa tu niipata

Ushago ni sawa but hapa tao nikiwa na kakitu which ofcourse lazima niko nayo since naspin EXTRAIL. Siwes park gari kicc niende river road kunywa legend afadhali niingie kericho east nisafishe mecho nikikunywa tusker baridi ama niende home .
 

culture

Village Elder
#29
Ushago ni sawa but hapa tao nikiwa na kakitu which ofcourse lazima niko nayo since naspin EXTRAIL. Siwes park gari kicc niende river road kunywa legend afadhali niingie kericho east nisafishe mecho nikikunywa tusker baridi ama niende home .
:D:Dsawa mkubwa.lakini jana sikuwa na dinga so nikaamua nipitie karma kiasi nikitegea mat nisonge nayo.but its ok sponsor:D
 
#38
So jana after wanakijiji kuniamulia nilitoka job alafu nikapitiae karma beste yangu anakuwaga na ka wines and spirit fulani pale river road.nikaitisha poison yangu {legend}.nikameza mdogo mdogo tu...kidogo shinny eyed fulani akiingia nikaona akiweka ile kitu sijui inaitwa aje kwa mdomo.nikaambiwa ni kuber

Nikamwambia nataka kujaribu.akanigawia kadot.mimi huyo nikaambiwa niweke hapo chini ya ulimi na nisimeze mate..lost memory in less than 10 minutes.nikablackout.my frend sijui vile nilijipata kwa choo ya kanjo.naskia kuenda choo but hakuna kitu inatoka ..i thank God coz nilifika mtaani safely.am yet to do an investigation on that drug.

lakini niko chonjo wadau
It's because you're not Indian. Mhindi akikula hiyo na ajiskie kwenda choo, kila kitu kinatoka.
Evidence is all over in New Delhi, River Ganges... indeed, all over India!
 
Top