JF iko hewani kamili kamili

Rudini nyumbani kumenoga. JF imerudi vile vile ilivyokuwa. Hongera Max and the Team

sawa tupo tupo kwanza

@Archdukee baby lets go home hun

Huku Kushaanza Kunoga Kama Ile Kipindi Unafeel Kuanza Kukojoa

Naondoka Rasmi humu kuanzia leo
Nilikaa mwaka bila kuingia humu
Narudi nyumbaaaaan

let’s do it darling home sweet home

Hahaha

Mbona mm huniambii?

@Mjr95 lets go home jf imerudi hahahhaha

Mie huku sitokiii

Tena lile bao Manzi kakukalia juu

Tutabaki ote

Ktalk is very addictive, kuingia ni rahisi kutoka ni vigumu mno

Ninakuomba dada angu bandika nyuzi ya kuwaaga rasmi ndugu zetu wakenya. Waombe pia majukwaa yetu watuachie vilevile.

Asante kwa heshima hii but why me madame?

Mashenzi kweli hayo!! yaani nimeweka uzi wa kumsifia Moderator wa Kenyatalk huyu @The Tweet eti yamenipiga BAN. mfyuuuuuu.

Hahahahahha Customer service…karibu tena

Yamejiona majinga yamenifutia BAN. mxeuuuuuuu.

Hahahaaa. Pole dada ake.

Mie pia nilikuwa naandika kumsifia ile napost tu kwenye uzi wako eti uzi ushafutwa lol.

Ile ndio shida ya Jf.

Ebhana eeeh huku ni kujiachia hadi sio vizuri