Jinsi ya kupika maharage ya kukata

Mahitaji

Maharage nusu
Chumvi
Nazi moja
Unga wa ngani
Kitunguu maji
Binzar ya unga

Namna ya kupika

Chemsha maharage had yaive pls note yasiive yakailinika yaive na ugum kidogo

Kuna nazi yako

Katia kitunguu maji kidogo kwneye maharage ulochemsha

Chuja naz tui bubu kivyake na lile la maji chujia kwneye hayo maharage acha yachemke had yakaukie kua makini uisunguze

Hakikisha umeweka chumvi kiaa epua

Chukua sufuria ulochujia tui bubu mikina binzar na unga wa ngano kidogo na chumv pamoja na kitunguu kilichobakia

Chemsha jikon hd vichemke

Epua baada ya kupoa kamimine juu ya maharage ulochemsha tayar kwa kuliwa na maandaz chapati mkate wa kumimina

Picha ni muhimu ktk mapishi…

[ATTACH=full]180382[/ATTACH]

Hapo tunaenda sawa…

[CENTER]

nilisahau kuaattach[/CENTER]

Hakuna shida…problem solved…

kwanin yanaitwa maharage ya kukata?

Upakuaji wake hayo vile unapakua unakata kasehem kwa kutimia upawa then unayachanganya hilo tui la juu lijichanganye na maharage huchot tu kama yale mengine

Ahaaaa ahsante

Mambo ya kwetu Tanga hayo.

Natumai wamekuelewa mwaya sababu hayo maharage yakipikwa ipasavyo na yapate Chapati na chai ya maziwa pembeni basi kujulamba muhimu.

@A.G. jirani ushawahi kula haya Maharage ya kukata sababu Mombasa yapo pia na huwa wanapika sana tu.

mamii bado sijala lakini upande wa Chapati mimi ni addict…huwezi nitosheleza. Nije Tanga lini uniandilie pamoja na hayo maziwa yako pembeni :D:p

Ewaaaaaaa. Siko huko now ila bado asili yangu ninayo eti. [emoji85] [emoji85] .

Jipange ukipata ile pesa ambayo ulipanga ukiipata uje TZ kisha nishitua tujue namna ya weye kufika aiseee. Hahahaaa. Lol.

Hivyo wapenda Chapati sana eee. Sijui unakula ngapi sababu huku kwetu Tz imezoweleka kuliwa chapati mbili basi yaani wanaozidi hapo ni wachache mnooo.

Huku chapati inaliwa na kila kitu …maziwa, nyama na mchuzi yake, dengu,…hata ikiwa peke yake. Je wewe ni mpishi bora kabisa wa chapo…

Hahahaaaa. Napika haswaaa jirani si wajua tena watu wa Pwani na kupika ndio nyumbani.

Hongera bana kwa kuipenda chapati jirani ila siku moja jaribishia kula na aina ya maharage yaliyoungwa kama hayo hapo juu. Hutajutia kula aisee.

asanti sana. ndo maana sisi vijana wa bara tukitembea pwani tunakatalia huko. munajua jinsi ya kutunza…yaani you r keepers.

Hahahaaa. Lol.

:D:D:D:p kipi kilichokufurahisha hivyo dear

Nimefurahi tu jinsi unavyoijua sifa ya wanawake wa Pwani jirani. Hahaaaaa.

Mara Dear…Mara Jirani… Mbona Mnanichanganya…au ndiyo True North haijapatikana…???

Mmh. Wewe ndio unataka kujichanganya sasa ila sisi tunaelewana sana tu.

Hayo ni maneno kama maneno mengine Mkuu.

@A.G. jirani njoo kuna mtu kachanyikiwa huku. Teh teh teh.

Pole eeeee.