Jinzi bahari ya Aktiki ilivyo badilika kuwa ya chunvi

Katika mamilioni ya miaka iliyopita, bahari ya Aktiki ilikuwa ziwa kubwa lenye maji baridi, haikuwa imeungana na bahari zenye maji ya chumvi. Wanasayansi wa Ujerumani waligundua kuwa baada ya bara lililoko kati ya Greenland na Scottland kuzama mita 50 chini ya usawa wa bahari, maji ya Atlantiki yalianza kuingia kwenye bahari ya Aktiki na kufanya maji ya huko yawe na chumvi.
Siku hizi kuna eneo kubwa la bahari kati ya Greenland na Scottland, lakini katika mamilioni ya miaka iliyopita, eneo hili lilikuwa nchi kavu. Wakati huo mlango bahari wa Bering pia ulikuwa juu ya usawa wa bahari na kutenga bahari ya Arctic na bahari ya Atlantiki.
Watafiti wa Taasisi ya Alfred Wegener ya Ujerumani wamesema wamehesabu mchakato wa nchi kavu kuzama mita 200 chini ya maji, na kugundua mchakato huo huenda uliendelea kwa mamilioni ya miaka. Utafiti unaonesha kuwa maji ya chumvi ya bahari ya Atlantiki hayakuingia kwenye bahari ya Aktiki mara moja baada ya nchi kavu kuzama chini ya usawa wa bahari, bali yaliingia baada ya nchi kavu kuzama mita 50 chini ya maji, na tabaka la mchanganyiko wa maji ndio liko kwenye kina hiki.
Kutokana na tofauti za joto, kiasi cha chumvi na uzito, maji ya baharini yanagawanyika katika matabaka mengi. Kwenye tabaka la mchanganyiko wa maji, joto, kiasi cha chumvi na uzito wa maji huwa ni sawasawa katika sehemu mbalimbali baharini. Ila tu nchi kavu ikizama hadi kufikia tabaka hilo, maji ya chumvi ya bahari ya Atlantiki yataweza kuingia kwenye bahari ya Aktiki.
Hivi sasa nchi kavu ya kale kati ya Greenland na Scottland imezama mita 500 chini ya maji, isipokuwa Iceland.

(CRI - Kiswahili)

Kisweli kimepiga wewe chenga saidi

usawa wa bahari ni sea level ama??

Boring

hehehe…jinzi kiswahili kitukuzwe

English version! courtesy of google

In the past millions of years, the Aktic Sea was a huge, cold lake, not connected with salty sea. German scientists discovered that after the mainland between Greenland and Scottland sank 50 meters below sea level, the Atlantic waters began to enter the Aktic Sea and make the water there salty.
Nowadays there is a large sea area between Greenland and Scottland, but in the past millions of years, this area was a dry country. At that time the Bering Sea was also over sea level and allocated the Arctic Sea to the Atlantic Ocean.
Researchers at the German Institute of Alfred Wegener have said they have calculated the dry process of drying 200 meters below the water, and discovering that process may continue for millions of years. Research suggests that Atlantic oceanic salts did not enter the Atlantic Ocean immediately after dry ground sinking below sea level, but it dropped into dry ground after 50 meters below the water, and the layer of water mixture is located on the ground. This detail.
Due to the difference in heat, the amount of salt and weight, seawater is split into many areas. On the other side of the mixture of water, heat, the amount of salt and the weight of the water is the same in different parts of the sea. Unless the dry land extends to the layers, the Atlantic Ocean salt will be able to enter the Aktic Sea.
The ancient dryland between Greenland and Scottland is now 500 meters below sea level, except Iceland.

jinzi = mnduli=kambodia

bakatiri ndio nini sasa wadau

Ls;ss
(Lefu sana; sijasoma)

fuck it!! i hate kiswahili

kiswahili kifukuzwe