I'm trying to compare cost ya kupark gari huko from 6am to 8pm na cost ya kutumia uber.
Nimekua nikitafuta info. kuhusu hii story na shida ni ile info KAA na KAPs wako nayo ni confusing kwa wale wasee hawajui parking zones inside there vizuri.
Jana drinks nikapatana na msee who seemed to know something, shida ni alikuwa inebriated kiasi so kuna vitu siku elewa.
Alisema kitu kama
Parking building - 750 Bob,
Parking iko terminal 2 towards "syokimau"? 560 Bob but ukitokea gate ya "cargo"? ni 200bob
That 200 bob option got me interested lakini hizo directions zimeniweza.
@incognitus na wale wengine, mawaidha priss
Nimekua nikitafuta info. kuhusu hii story na shida ni ile info KAA na KAPs wako nayo ni confusing kwa wale wasee hawajui parking zones inside there vizuri.
Jana drinks nikapatana na msee who seemed to know something, shida ni alikuwa inebriated kiasi so kuna vitu siku elewa.
Alisema kitu kama
Parking building - 750 Bob,
Parking iko terminal 2 towards "syokimau"? 560 Bob but ukitokea gate ya "cargo"? ni 200bob
That 200 bob option got me interested lakini hizo directions zimeniweza.
@incognitus na wale wengine, mawaidha priss