Holy spirit ishike mtu leo ka vile ilishika Good Samaritan nipewe kazi. Any work itakuwa sawa
Utaweza kupandisha mawe 250 hadi gorofa ya sita…
Nianze kazi lini?
Nianze kazi lini?
Wapi huko ,NCA inakubali ?
hata Mimi hio nimeona ni slavery, unless kuna lift kwa site…that is not very safe
Mawe 31/hr in a 8hr working day. Hio ni kifo
Io ni kifo wallahi. Kwa @roll out kuna kazi mob, ata anaeza pewa kazi ya kumbebea ile Dasani mineral water
Wewe Unataka kuanza lini
That’s the spirit Bro. Pick the low lying ones first and the higher ones will line up for you to pick them later.
Uko na laptop na internet?
Hiyo Hata ni Sosa, wasee wa plasta ndio huona siku mrefu.unapewa kipimo ingine Saa nne ya usiku ndio anamwaga niro.
https://www.kenyatalk.com/data/avatars/l/16/16637.jpg?1489533202
Tupatie caption ya nguvu hapa kwanza
Nimeona,wamama kwa site ,wakipandisha Mchanga ,pia material zingine , lakini kuna utumwa kwa this construction industry
Just help this person if you can ,tusiderail thread plz !
Job ziko Kama yeye anaweza kubali kufanya.
change hio avatar ya ujinga ndio mbirioneas tukusaidie
Welcome to the club bro…
Ulisaidia jimwit after kumuitisha cv?
assuming he has one…which job…which site…share pia watu wengine wafaidike
daktari bado hujalipwa hio 500% payrise ?