Jokate mama wa taifa

Nimeshindwa ku upload video. Iko insgram kwenye page ya Mange. Jokate ametamnulishwa kama mama wa taifa kwenye sherehe ya 40 ya mtoto wa Zamaradi

Sharobaro atakayejifanya anampenda jojo itakula kwake

Hajitaki?

Aisee!

Aisee

Na alivyotambulishwa alionekana kufurahi sana

hivi kaukweli kanaweza kuwepo

Wanawake nimewasifu

Imeniuma sana. Nimemsubiria miaka dahali!

Kaka tunakupenda msahau tu

Jokate ni nani?

Haaaaaahaaaaaa. Hatariiiii

Bunti mmoja aliyependwa na mswaka ng’ombe

Ila wanawake mna moyo dude km lile una lila denda na ukatili wake wote.

Hata Iddi Amin kuna waliomdenda

Ukatili mtaani chumbani ma lavuuu tu, tena huwa wapole kama nini vile

We we weeeee ishia hapo hapo!

Cheo cha mama Maria Nyerere amepatiwa yeye kwa vigezo gani?

Labda mama wa taifa la Mkurabita na Mkukuta

Cc: @Mahondaw

Mchepuko wa taifa rather

Kwa hiyo kachukua nafasi ya cheupe?

Cc: @Mahondaw